Header Ads

VIDEO: FID Q Akanusha Kuhusu Bifu Yake Na Joh Makini


Msanii mkongwe wa muziki wa HipHop Tanzania azungumzia bifu yake na Joh Makini ambayo imeenea mtaani kuwa na kilichoshangaza ni hatua ya Msanii Fid Q kupost Thumbinals za Video ya wimbo mpya wa Joh Makini unaokwenda kwa jina la Waya.

Msikilize Fid Q akifafanua kuhusu taarifa hiyo hapo chini:-

No comments

Powered by Blogger.